Submita kata umeme Mita janja Submeter

Submita kata umeme Mita janja Submeter � SUBMETER KATA UMEME
Kila mpangaji umeme wake �
Ufundi • Usajiri • Delivery �
� 0686198578

24/06/2026
21/06/2026

Mwisho wa Migogoro ya Umeme Kwenye Nyumba za Kupanga! -

55

Tatizo kubwa kwenye nyumba nyingi za kupanga ni kutumia LUKU moja, halafu kila mpangaji anatakiwa kuchangia hela sawa, bila kuangalia nani anatumia umeme mwingi.

Ndiyo maana kuna malalamiko kila siku:

"Mimi natumia taa na TV tu, kwa nini nilipe sawa na mwenye jiko la umeme?"

"Mbona umeme unaisha kila siku?"

"Kuna mtu anaiba umeme hapa!"

Migogoro hii imechosha sana.

Lakini sasa... suluhisho rasmi limewasili!せ

SUBMETER MPYA YA KISASA

Kwa kila mpangaji, umeme wake - maisha yake!

Tunakuwekea submeter maalumu kwa kila chumba/mpangaji bila kubadili

mfumo wa TANESCO.

Kila mtu ananunua umeme wake moja kwa moja kupitia ile LUKU ile ile lakini unatumika kwenye chumba chake pekee.

Hii inamaanisha:

Hakuna kuchangishana tena

Hakuna ugomvi wa matumizi yasiyoendana

Hakuna mtu kutumia umeme wa mwenzake

Umeme ukiisha kwako, unakufa kwako tu - si kwa majirani!

Wengine wanaendelea na maisha yao bila kuguswa

Faida Kubwa za Submeter Yetu (Tofauti na za kawaida)

1 Inakata umeme wa chumba husika tu Unamaliza umeme? Ni kwako pekee.

Nyingine bado zinawaka!

(Submeter za zamani zinakata nyumba yote yetu haiharibu amani!)

2 Inazuia kabisa matumizi ya udanganyifu

Hakuna mtu anayeweza kuunganisha matumizi yake kwako.

Kila kitu kinaonekana kifaa kwa kifaa.

3 Inakupa uhuru na usalama wa haki

Matumizi yako unayajua.

Umeme unauamua.

Huna presha ya "tuchangishane."

Kwa nini watu wanatuchagua?

★Utaalamu wa kitaalamu - kazi safi, wiring nadhifu, vifaa vya kisasa

★Huduma za haraka ndani ya Dar es Salaam na maeneo ya karibu

★Wateja wetu wakiridhika, wanatuletea wengine - sisi hatujisifii, kazi inajisifu

Tanzanite Electrical Solution imekuwa kimbilio la wenye nyumba na wapangaji wanaotaka amani + usawa + uhuru wa matumizi.

**Unayo nyumba ya kupanga?

Uko kwenye mgogoro wa umeme?

Au unataka tu mfumo wa haki nyumbani kwako?**

0686198578 WhatsApp
0624208189 call
0689289805 sms

20/06/2026

Mwisho wa Migogoro ya Umeme Kwenye Nyumba za Kupanga! -

55

Tatizo kubwa kwenye nyumba nyingi za kupanga ni kutumia LUKU moja, halafu kila mpangaji anatakiwa kuchangia hela sawa, bila kuangalia nani anatumia umeme mwingi.

Ndiyo maana kuna malalamiko kila siku:

"Mimi natumia taa na TV tu, kwa nini nilipe sawa na mwenye jiko la umeme?"

"Mbona umeme unaisha kila siku?"

"Kuna mtu anaiba umeme hapa!"

Migogoro hii imechosha sana.

Lakini sasa... suluhisho rasmi limewasili!せ

SUBMETER MPYA YA KISASA

Kwa kila mpangaji, umeme wake - maisha yake!

Tunakuwekea submeter maalumu kwa kila chumba/mpangaji bila kubadili

mfumo wa TANESCO.

Kila mtu ananunua umeme wake moja kwa moja kupitia ile LUKU ile ile lakini unatumika kwenye chumba chake pekee.

Hii inamaanisha:

Hakuna kuchangishana tena

Hakuna ugomvi wa matumizi yasiyoendana

Hakuna mtu kutumia umeme wa mwenzake

Umeme ukiisha kwako, unakufa kwako tu - si kwa majirani!

Wengine wanaendelea na maisha yao bila kuguswa

Faida Kubwa za Submeter Yetu (Tofauti na za kawaida)

1 Inakata umeme wa chumba husika tu Unamaliza umeme? Ni kwako pekee.

Nyingine bado zinawaka!

(Submeter za zamani zinakata nyumba yote yetu haiharibu amani!)

2 Inazuia kabisa matumizi ya udanganyifu

Hakuna mtu anayeweza kuunganisha matumizi yake kwako.

Kila kitu kinaonekana kifaa kwa kifaa.

3 Inakupa uhuru na usalama wa haki

Matumizi yako unayajua.

Umeme unauamua.

Huna presha ya "tuchangishane."

Kwa nini watu wanatuchagua?

★Utaalamu wa kitaalamu - kazi safi, wiring nadhifu, vifaa vya kisasa

★Huduma za haraka ndani ya Dar es Salaam na maeneo ya karibu

★Wateja wetu wakiridhika, wanatuletea wengine - sisi hatujisifii, kazi inajisifu

Tanzanite Electrical Solution imekuwa kimbilio la wenye nyumba na wapangaji wanaotaka amani + usawa + uhuru wa matumizi.

**Unayo nyumba ya kupanga?

Uko kwenye mgogoro wa umeme?

Au unataka tu mfumo wa haki nyumbani kwako?**

Piga 0686198578 WhatsApp

06/06/2026

⚡ MWISHO WA MIGOGORO YA UMEME KWA WAPANGAJI ⚡

Je, bado mnatumia LUKU moja na kuchangishana umeme kila mwezi?

Submeter ya Kisasa ni suluhisho la kuondoa migogoro ya umeme kwenye nyumba za kupanga.

✅ Kila mpangaji analipia umeme anaotumia mwenyewe
✅ Hakuna kuchangishana wala kusubiriana
✅ Hakuna kutumia umeme wa mwenzako
✅ Umeme ukiisha, unakatika kwenye chumba husika tu
✅ Haki na usawa kwa wapangaji wote
✅ Mfumo salama unaozuia matumizi yasiyo sahihi

Tunafunga Submeter za kisasa bila kubadili mfumo wa TANESCO.

📍 Tunapatikana Dar es Salaam

📲 WhatsApp
0️⃣6️⃣8️⃣6️⃣1️⃣9️⃣8️⃣5️⃣7️⃣8️⃣

📞 Call
0️⃣6️⃣2️⃣4️⃣2️⃣0️⃣8️⃣1️⃣8️⃣9️⃣

✉️ SMS
0️⃣6️⃣8️⃣9️⃣2️⃣8️⃣9️⃣8️⃣0️⃣5️⃣

Karibu upate suluhisho la kudumu la umeme kwenye nyumba yako ya kupanga.

14/05/2026

Address

DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Submita kata umeme Mita janja Submeter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share