Momoa Aplikesheni ya Momoa inamsaidia wakala wa huduma za kifedha K**a Mpesa Na Tigo Pesa, Kuendesha Biasha

Wakala wa mitandao ya simu 🔊Usiendesha tena biashara yako kwa kutumia daftari. App ya Momoa itakusaidia kuendesha biasha...
20/08/2024

Wakala wa mitandao ya simu 🔊

Usiendesha tena biashara yako kwa kutumia daftari. App ya Momoa itakusaidia kuendesha biashara yako kidigitali kwa kurecord Cash na floats za biashara, madeni na wateja, commissions, matumizi na miamala ya biashara na zaidi utaweza kuwasajili wafanyakazi wako na ukawa admin.

Download Momoa playstore au app store leo.

12/08/2024

Mawakala wa mitandao ya simu tunapata changamoto kubwa kwenye upande wa kusimamia biashara zetu na wafanyakazi.

Application ya Momoa itakusaidia kwenye upande wa kusimamia biashara yako kuanzia madeni, commissions, matumizi pamoja na miamala ya uwakala, na mwisho tutakupa ripoti sahihi ya biashara yako.

Zaidi unaweza kusajili wafanyakazi wako na ukuwa admin.

Download sasa Momoa play store au App store https://drimer.io/

12/08/2024
Kila unapo pokea commissions kwenye uwakala huwa unaiwekezeka wapi?, je unazungusha tena kwenye biashara ama unaisave?
09/05/2024

Kila unapo pokea commissions kwenye uwakala huwa unaiwekezeka wapi?, je unazungusha tena kwenye biashara ama unaisave?

Wakala download application ya Momoa leo na uanza kuendesha biashara yako kidigitali zaidi.
07/05/2024

Wakala download application ya Momoa leo na uanza kuendesha biashara yako kidigitali zaidi.

Wanasema huu ndo wakuforce, na huu ndio muda mzuri wa kupitia malengo yetu na tuendlee kuyapambania
06/05/2024

Wanasema huu ndo wakuforce, na huu ndio muda mzuri wa kupitia malengo yetu na tuendlee kuyapambania

Wataalamu wa biashara wanasema matumizi yapozidi kipato, basi ni dalili mbaya za biashara.K**a mfanyabiashara ni muhimu ...
09/04/2024

Wataalamu wa biashara wanasema matumizi yapozidi kipato, basi ni dalili mbaya za biashara.

K**a mfanyabiashara ni muhimu sana kuwa na mipango mizuri ya matumizi yako na kuhakikisha kwamba ela ya matumizi haitoki katika mtaji wako.

Wafanyabiashara wengi tumekuwa tukikosea kwenye upande wa matumizi na kuanza kuchukua mtaji kufanyia matumizi. Ukifanya hivi biashara yako haitakuwa na baada ya muda utakuwa ukichukua ela binafsi kurudisha mtaji ama biashara yako kufa kabisa.

Hivyo ni muhimu kupangilia vizuri matumizi yako na kuhakikisha hesabu zinakaa sawa.

Biashara zina changamoto nyingi sana, ikiwapo namna ya kudeal na wateja wetu.Kwani kila mteja anakuja na tabia yake, hiv...
04/04/2024

Biashara zina changamoto nyingi sana, ikiwapo namna ya kudeal na wateja wetu.

Kwani kila mteja anakuja na tabia yake, hivyo k**a mfanyabiashara ni muhimu kujua namna ya kudeal na hawa wateja.

Ndugu Wakala anza kutengeza mahusiano mazuri na wateja wako, hata akiwa ni mpita njia tu
02/04/2024

Ndugu Wakala anza kutengeza mahusiano mazuri na wateja wako, hata akiwa ni mpita njia tu

Leo tunagusia ni vitu gani vya muhimu kuzingatia kujua k**a ni muda sahihi wa kupanua biashara yako ya uwakala.
01/04/2024

Leo tunagusia ni vitu gani vya muhimu kuzingatia kujua k**a ni muda sahihi wa kupanua biashara yako ya uwakala.

Heli ya sikukuu ya pasaka kwa mawakala wapambanaji wote
31/03/2024

Heli ya sikukuu ya pasaka kwa mawakala wapambanaji wote

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
00000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Momoa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Momoa:

Share