11/03/2026
Mustapha HEB foundation ni TAASISI isiyo ya kiserikali ambayo imeaanzishwa kwa lengo la kuinua jamiii kupitia elimu, Afya na ujasiliamali ili kuleta tumaini kwa jamiii za kimasikini na watu waliokata tamaa kwasababu ya ugumu wa maisha , hasa Maeneo ya vijijini
Foundation hii imelenga
1. Kutoa elimu kwa jamii juu ya afya, kupitia mikutano ya kijamii, semina mbalimbali pamoja na usambazaji wa vitabu maaalumu kuhusu masuala ya afya ili kuimarisha afya ya JAMIII hasa Maeneo ya vijijini kwani afya ni kitu muhimu Sana katika kuimarisha Nguvu kazi ya wanajamiii kwa maendeleo ya ndani na taifa kwa ujumla
2. Foundation hii imelenga kuinua umelewa.na mwamko wa elimu katika jamiii hasa Maeneo ya vijijini na jamii za kimasikini ambazo zimekata tamaa na kushindwa kiwawezeaha watoto wao kuendelea na masomo pengine kulingana na kukosa uelewa, kukosa mahitaji au ugumu wa maisha, TAASISI hii imelenga kuzofikka jamiii kupitia mikutano, semina mashuleni ,pamoja na usambazaji wa vitabu maaalumu kuhusu umuhimu wa elimu kwa watoto . Pia kutoa misaada ya kiwawezesha watoto kutoka katika jamiii za kimasikini ili waweze kuendelea na masomo Yao na kutimiza ndoto zao, ikiwemo kuanzisha miradi ya maendeleo ya JAMIII, shule za awali vijijini, ujenzi wa mabweni, na kuanzisha vyuo vya tuition
3. TAASISI hii imelenga kuwainua vijana kupitia biashara ili waweze kujiinua kiuchumi, kuwaa elimu juuu na namna ya kujikwamua.kimaosha na kuepuka utegemezi, kuwapa misaada ya kiwawezesha kuanzisha miradi kwa riba , kuajiri vijana katika biashara ndogondogo, kuwajemgea uwezo wa kujiajiri kupitia viwanda vidogovidogo k**a vile utange.ezaji wa sabuni, ufuganji, na kilimo Cha umwagiliaji
4.Aidha , TAASISI hii imelenga kumulika.jicho la 3 kwa jamiii zisizojoweza na familia zinazoishi katika mazingira magumu ya kimasikini na ugumu wa maisha. Watu wenye uhitaki maalumu, wakiwemo yatima pamoja na magroup MENGINE
TAASISI hii inashirikiana na TAASISI za kiserikali kwa kiwasilisha proposals zitakazopewa kipaumbele kwa lengo la kuinua jamiii zetu na maendeleo ya taifa kwa ujumla
Wizara ya Afya Tanzania
Wizara ya Fedha
Wizara ya Kilimo
Mustapha HEB foundation,
power of the community@
๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟโ๏ธโ๏ธโ๏ธ