ICT Solution

ICT Solution Computer is everything...

Kutoka katika kumbukumbu:-  Amitabh Bachchan (mwigizaji gwiji nchini India) aliwahi kusema:"Katika kilele cha kazi yangu...
05/10/2024

Kutoka katika kumbukumbu:-

Amitabh Bachchan (mwigizaji gwiji nchini India) aliwahi kusema:

"Katika kilele cha kazi yangu, wakati fulani nilikuwa nikisafiri kwa ndege. Abiria mmoja karibu yangu alikuwa bwana mzee aliyevaa shati ya kawaida sana na suruali. Alionekana kuwa mtu wa kawaida na mwenye kipato cha kawaida sana na msomi flani hivi.

Abiria wengine labda walinitambua mimi ni nani, lakini bwana huyu alionekana kutojali uwepo wangu....Alikuwa akisoma karatasi yake, akichungulia dirishani, na chai ilipotolewa, aliinywa kimya kimya.

"Nilipojaribu kuanzisha mazungumzo naye nilitabasamu. Mzee huyo naye alitabasamu kwa heshima na kusema 'Habari?'

"Tulizungumza na nikaleta mada ya sinema na kuuliza, 'Je, unatazama filamu?'

"Mzee huyo alijibu, 'Oh, mara chache sana. Niliona moja miaka mingi iliyopita.'

"Nikamwaambia kwamba ninafanya kazi katika tasnia ya sinema.

"Mzee yule akajibu .." oh, hiyo ni nzuri. Unafanya nini?'

"Nilijibu, 'Mimi ni mwigizaji'

"Mzee huyo akaongeza, 'Ah, hiyo ni nzuri!'

"Tulipotua, nilinyoosha mkono wangu na kusema," nimefurahi kusafiri pamoja nawe. Jina langu ni Amitabh Bachchan!'

"Mzee huyo alinishika mkono na kutabasamu, "Asante... nimefurahi kukutana nawe..Mimi ni J R D Tata (Mwanzilishi na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni iitwayo TATA)!"

"Nilijifunza siku hiyo kwamba hata ujifikirie kuwa mkubwa kiasi gani, siku zote kuna mtu mkubwa zaidi.

Kuwa mnyenyekevu, haigharimu chochote"

~ Kutoka peruzi mitandaoni.

Imetafsiriwa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili na Karume J. Asanga

An Aeroplane cleaner was cleaning the Pilot's cockpit, when he saw a book titled, "HOW TO FLY AN AEROPLANE FOR BEGINNERS...
19/09/2024

An Aeroplane cleaner was cleaning the Pilot's cockpit, when he saw a book titled, "HOW TO FLY AN AEROPLANE FOR BEGINNERS (Volume 1)

He opened the first (1st) page which said: "To start the engine, press the red button...". He did so, and the airplane engine started...

He was happy and opened the next page...:
"To get the airplane moving, press the blue button... "He did so, and the plane started moving at an amazing speed...

He wanted to fly, so he opened the third (3rd) page which said: To let the airplane fly, please press the green button... "He did so and the plane started to fly...

He was excited...!!

After twenty (20) minutes of flying, he was satisfied, and wanted to land, so he decided to go to the fourth (4th) page... and page four (4) says; "To be able to know how to land a plane, please purchase Volume 2 at the nearest bookshop!"

*Moral Lesson*

Never attempt anything without complete information

*Half Education is not only dangerous but destructive!!!* A word is enough for the wise.

Keep following

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ICT Solution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share